LIBRISTO
LIBROAMANTO
obowiązkowe
Zostań członkiem wspólnoty miłośników książek z całego świata i zyskaj mnóstwo korzyści. Załóż konto bezpłatnie
0
Darmowa dostawa z usługą Inpost oraz Orlen od 299.00 zł
DPD Kurier 12.99 Poczta Polska 18.99 Paczkomat 13.99 InPost 12.99 Punkt DPD 13.99

Darmowa dostawa dla zamówień powyżej 299,00 zł.
Język SuahiliSuahili
E-book Adobe ePub DRM
Wydawnictwo Mkuki Na Nyota Publishers, listopad 2018
Mauaji ya kikatili yanafanyika karibu na mji wa Uitenhage nchini Afrika Kusini siku ya kuwakumbuka w... Cały opis
? points 160 b
280.13
Dostępna Produkt cyfrowy - wysyłamy od razu


Klienci kupili także


Communicating with Data Visualisation Tobias Sturt / Książka Miękka
common.buy 494.91
The Complete Guide To Quail Farming Frank Albert / Książka Miękka
common.buy 37.98

Mauaji ya kikatili yanafanyika karibu na mji wa Uitenhage nchini Afrika Kusini siku ya kuwakumbuka wazalendo, waliouawa mjini Sharpeville mwaka 1960. Makaburu wanajawa na hofu kwa mauaji hayo, na wanawatilia shaka kuwa ni njama za kikundi cha watu weusi za kutaka kupindua mfumo wa Serikali yao ya Ubaguzi wa Rangi. Uongozi wa Makaburu wa Afrika Kusini wakiongozwa na Mkurugenzi wa Shirika la Ujajusi, Kamanda wa Jeshi la Kulfut na Mkuu wa Magaidi, wasaliti wa UNITA, wanakutana ili kukabili juhudi za ukombozi wa Afrika Kusini kuwa wimbi la mauaji. Wanapanga pia, mikakati ya kuzizorotesha kisiasa na kiuchumi nchi zilizo mstari wa mbele kupinga uongozi wao na kuzifanya ziogope na kuacha kuwasaidia Wapigania Ukombozi. Mkutano wa Wapigania Uhuru wa Afrika Kusini unafanyika Arusha, nchini Tanzania. Jambo hili linawatia hofu Makaburu, hivyo basi, mikakati kabambe inafanywa na Serikali yao ili kuusambaratisha mkutano huo. Umoja wa Wapigania Uhuru nao unaandaa kikundi makini kabisa ili kupambana na Makaburu hao na kuulinda mkutano wao. Mpelelezi nguli wa Afrika, Willy Gamba, hakosi panapokuwa na mapambano kati ya upande wenye haki, upande wa umma na ule wa dhuluma. Kwa kushirikiana na wapelelezi mahiri kutoka nchi za Kusini mwa Afrika kwa kutumia medani za kivita, mateke, ngumi, kung fu achilia mbali bastola, visu na silaha nyingine wanapambana dhidi ya Makaburu hao na vikundi mbalimbali vya kigaidi vilivyoshirikiana nao. Hekaheka zinatokea Arusha, Makaburu wanakipata cha moto. Mwindaji awa mwindwaji...fuatilia. The four books in this series of detective novels, written in Swahili, were authored by the late Aristablus Elvis Musiba. The novels follow the exploits of Willy Gamba, an elite special operations Tanzanian intelligence officer. Set in various locations in Africa Willy is dispatched to neutralise agents within the Apartheid Regime as well as saboteurs, who are out to destroy those involved with the liberation struggles being waged in Southern Africa.

Aktorka & Poliglotka
EWA KASP dla
Odtworzyć wideo
Ewa Kasp
Libristo ma największy wybór literatury obcojęzycznej. Dlatego tutaj kupuję swoje książki.

Informacje o książce

Pełna nazwa Hofu
Autor E.A. Musiba
Język Suahili
Oprawa E-book - Adobe ePub DRM
Data wydania 2018
Liczba stron 162
EAN 9789987449927
Kod Libristo 45085941
Podaruj tę książkę jeszcze dziś
To łatwe
1 Dodaj książkę do koszyka i wybierz „dostarczyć jako prezent” 2 W odpowiedzi wyślemy Ci bon 3 Książka dotrze na adres obdarowanego

Logowanie

Zaloguj się do swojego konta. Nie masz jeszcze konta Libristo? Utwórz je teraz!

 
obowiązkowe
obowiązkowe

Nie masz konta? Zyskaj korzyści konta Libristo!

Dzięki kontu Libristo będziesz mieć wszystko pod kontrolą.

Utwórz konto Libristo